Happy Mother's day to all our Tanzanian sisters here in Canton and around the globe.
Greetings from T.A.C
Monday, May 10, 2010
Wednesday, December 16, 2009
NEW YEAR EVE PARTY

Make this year a year to remember! The Tanzania Associan of Canton presents,
a New Year bash at Lollies Banquet hall of Belden Village.
$5.00 cover charge at the door. Food, drinks, and fun!
Music by DJ Kvelli of Columbus. Rap, Hip-Hop, and much more!
Call 330-418-6401 or 330-575-7148 for V.I.P and info.
Lolli's Restaurant and Banquet Center4801 Dressler Road NW.Canton, Ohio 44718Call: 330.492.6846Toll Free: 1.877.GOLOLLI(1.877.465.6554)Fax: 330.492.0836lollisrestaurant@aol.com
Tuesday, November 24, 2009
Mnuso wa Nguvu Canton Ohio
Watanzania wa Canton wanayo furaha kuwakaribisha watanzania wote waishio Canton Ohio na vitongoji vyake kwenye kusheherekea pamoja nasi siku kuu ya Eid El Hadji siku ya Ijumaa saa kumi na nusu jioni 4:30pm kwenye Ukumbi wa kisasa wa Saifert Flower Mill 7300 Wales Rd North Canton. Muziki utangurumishwa na Dj Mo.... vyakula asilia vya kumwaga na vinywaji mtindo mmoja.Upatapo taarifa hii mfahamishe na mwingine.
Karibuni sana
Kamati ya Maandalizi
Karibuni sana
Kamati ya Maandalizi
Saturday, October 10, 2009
Saturday, July 11, 2009
Bon Voyage Father Malasi





Father Malasi.
Father Malasi amekuwa na umoja wetu wa Watanzania waishio ukanda wa kaskazini kwa zaidi ya miaka 7 hivi na sasa umefikia wakati au hatma ya Father Malasi kurudi jimboni nyumbani Tanzania kumtumikia Mungu.Father huyu amekuwa nasi hapa kishule na ameweza kumaliza elimu yake ya juu ya Ph.D katika ukanda wa kemia.Umoja wa Watanzania waishio Canton Ohio wanayo furaha kubwa na kumpongeza kwa mafanikio yake na pia kuonyesha upendo na umuhimu wake wa kitume kati ya wana umoja kwa muda wote huu tulio ishi nae hapa.Pia tulipata nafasi ya kukutana na mkuu wa jimbo la Moshi mjini Baba Askofu Isaac Massawe ambae aliongea na watanzania na pia kuonyesha umuhimu wa Father Malasi katika jimbo la Moshi pindi atakapowasili Tanzania.Tungependa Father Malasi aendelee kuwa nasi ila muda nao umetutupa sharti arejee nyumbani kwa majukumu mengine ya kitawa.Mungu ubariki umoja wetu, Mungu mbariki Father Malasi, Mungu ibariki Tanzania..
Friday, June 26, 2009
Mtanzania ndani ya NBA Hasheem Thabeet
Tuesday, May 26, 2009
Subscribe to:
Posts (Atom)