Watanzania wa Canton wanayo furaha kuwakaribisha watanzania wote waishio Canton Ohio na vitongoji vyake kwenye kusheherekea pamoja nasi siku kuu ya Eid El Hadji siku ya Ijumaa saa kumi na nusu jioni 4:30pm kwenye Ukumbi wa kisasa wa Saifert Flower Mill 7300 Wales Rd North Canton. Muziki utangurumishwa na Dj Mo.... vyakula asilia vya kumwaga na vinywaji mtindo mmoja.Upatapo taarifa hii mfahamishe na mwingine.
Karibuni sana
Kamati ya Maandalizi
Tuesday, November 24, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment