Heri ya mwaka mpya kwa wanajumuiya Tanzania ndani ya nje ya Canton Ohio.TAC inatoa salamu za pekee kwa kila mwanachama wake na watanzania wote kwa ujumla nje na ndani y Canton ohio.
Tunamuomba mola atuwezeshe kuvuka mwaka 2008 salama na kuuona mwak 2009 kwa nguvu na ari na kasi mpya.Umoja wa watanzania TAC unawatakia wote wasomao blog hii Heri ya mwaka mpya na mwaka huu wa 2009 uwe ni mwaka wa mafanikio tele.Fuata sheria za nchi,fuata sheria za barabarani, zingatia mambo muhimu katika maisha yako,panga kuwa mmojawapo wa waletao maendeleo kwa umoja na kwa wana umoja.Panga kuwa mstari wa mbele kuhudhuria vikao vya umoja na kutoa michango yako ya mawazo,kifedha na kihali nje na ndani ya umoja.Mpende mwana umoja mwenzako na asiye mwana umoja na kumtakia mema na asiye mwanachama mfahamishe kuhusu umoja wetu.
Asanteni sana
Viongozi
Wednesday, December 31, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment