Ally Said na Wife Tamika wanapenda kuwaalika Watanzania wote kwenye Baby shower ya mtoto wao wa kike mtarajiwa March 29th,2009 saa tisa kamili mchana- mpaka saa mbili usiku.Ukumbi Winsor Hall uko 62E tafadhali mfahamishe Ally kwa ujio wako.
Taarifa zozote za mabadiliko tutawafahamisha.
Waandalizi.
Tuesday, January 27, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment