
Watanzania,
Tunapenda kuwatangazia Graduation ya Bw.Kilian Kamota siku ya tarehe 26.4.2009 kuanzia saba na nusu mchana hapo Walsh University na baadae tafrija fupi nyumbani kwa Kilian.Kwa niaba ya watanzania waishio Canton Ohio tunapenda kumpongeza ndg.yetu Kilian Kamota kwa hatua hii kubwa aliyofikia katika elimu "Second touch down" heko ndugu yetu.
Uongozi.
Tunapenda kuwatangazia Graduation ya Bw.Kilian Kamota siku ya tarehe 26.4.2009 kuanzia saba na nusu mchana hapo Walsh University na baadae tafrija fupi nyumbani kwa Kilian.Kwa niaba ya watanzania waishio Canton Ohio tunapenda kumpongeza ndg.yetu Kilian Kamota kwa hatua hii kubwa aliyofikia katika elimu "Second touch down" heko ndugu yetu.
Uongozi.
No comments:
Post a Comment