Tuesday, April 21, 2009

Kikao cha jumuiya tarehe 25.4.2009

Watanzania wa Canton,
Mnatangaziwa kutakuwa na kikao cha jumuiya 4.25.2009 saa kumi na moja jioni nyumbani kwa Abeid mnaombwa kufika bila kukosa.Ajenda zitawakilishwa kikaoni.Ukipata taarifa hii mhamishe na mwingine.

No comments: