Watanzania wa Canton,
Mnatangaziwa kutakuwa na kikao cha jumuiya 4.25.2009 saa kumi na moja jioni nyumbani kwa Abeid mnaombwa kufika bila kukosa.Ajenda zitawakilishwa kikaoni.Ukipata taarifa hii mhamishe na mwingine.
Tuesday, April 21, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment